2 na Daudi akaliambia kutaniko lote la Israeli: “Ikiwa vema kwenu na kukubalika kwa Yehova, Mungu wetu, na tutume watu kwa ndugu zetu waliobaki katika nchi zote za Israeli+ na pamoja nao makuhani+ na Walawi+ katika majiji+ yao yenye viwanja vya malisho, ili wajikusanye pamoja kwetu.