26 Kisha Musa akasimama katika lango la kambi na kusema: “Ni nani aliye upande wa Yehova? Na aje kwangu!”+ Nao wana wote wa Lawi wakaanza kujikusanya kwake.
2 Na uwalete karibu, pia, ndugu zako wa kabila la Lawi, ukoo wa baba yako, pamoja nawe, wapate kuungana nawe na wapate kukuhudumia wewe,+ wewe na wana wako pamoja nawe, mbele ya hema la Ushuhuda.+