Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Nawe utawaweka Haruni na wanawe kwenye mlango+ wa hema la mkutano, nawe utawaosha kwa maji.+

  • Zaburi 26:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Nitaiosha mikono yangu katika kutokuwa na hatia,+

      Nami nitatembea nikizunguka madhabahu yako, Ee Yehova,+

  • Isaya 52:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Geukeni, geukeni, tokeni humo,+ msiguse kitu chochote kilicho najisi;+ tokeni katikati yake,+ jiwekeni safi, ninyi mnaovichukua vyombo vya Yehova.+

  • 2 Wakorintho 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa tuna ahadi hizi,+ acheni tujisafishe+ wenyewe kila unajisi wa mwili na roho,+ tukiukamilisha utakatifu katika kumwogopa Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki