Kutoka 29:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Nawe utawaweka Haruni na wanawe kwenye mlango+ wa hema la mkutano, nawe utawaosha kwa maji.+ Zaburi 26:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nitaiosha mikono yangu katika kutokuwa na hatia,+Nami nitatembea nikizunguka madhabahu yako, Ee Yehova,+ Isaya 52:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Geukeni, geukeni, tokeni humo,+ msiguse kitu chochote kilicho najisi;+ tokeni katikati yake,+ jiwekeni safi, ninyi mnaovichukua vyombo vya Yehova.+ 2 Wakorintho 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa tuna ahadi hizi,+ acheni tujisafishe+ wenyewe kila unajisi wa mwili na roho,+ tukiukamilisha utakatifu katika kumwogopa Mungu.+
6 Nitaiosha mikono yangu katika kutokuwa na hatia,+Nami nitatembea nikizunguka madhabahu yako, Ee Yehova,+
11 Geukeni, geukeni, tokeni humo,+ msiguse kitu chochote kilicho najisi;+ tokeni katikati yake,+ jiwekeni safi, ninyi mnaovichukua vyombo vya Yehova.+
7 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa tuna ahadi hizi,+ acheni tujisafishe+ wenyewe kila unajisi wa mwili na roho,+ tukiukamilisha utakatifu katika kumwogopa Mungu.+