2 Wakorintho 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “ ‘Kwa hiyo tokeni katikati yao, na mjitenge,’ asema Yehova, ‘na mwache kugusa kitu kilicho najisi’ ”;+ “ ‘nami nitawakaribisha ndani.’ ”+ Ufunuo 18:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni ikisema: “Tokeni kwake, watu wangu,+ ikiwa hamtaki kushiriki pamoja naye dhambi zake,+ na ikiwa hamtaki kupokea sehemu ya mapigo yake.
17 “ ‘Kwa hiyo tokeni katikati yao, na mjitenge,’ asema Yehova, ‘na mwache kugusa kitu kilicho najisi’ ”;+ “ ‘nami nitawakaribisha ndani.’ ”+
4 Nami nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni ikisema: “Tokeni kwake, watu wangu,+ ikiwa hamtaki kushiriki pamoja naye dhambi zake,+ na ikiwa hamtaki kupokea sehemu ya mapigo yake.