Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 48:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Tokeni katika Babiloni!+ Kimbieni kutoka kwa Wakaldayo.+ Tangazeni kwa sauti ya vigelegele vya shangwe, fanyeni hili lisikiwe.+ Lifanyeni liende mpaka mwisho wa dunia.+ Semeni: “Yehova amemkomboa mtumishi wake Yakobo.+

  • Isaya 52:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Geukeni, geukeni, tokeni humo,+ msiguse kitu chochote kilicho najisi;+ tokeni katikati yake,+ jiwekeni safi, ninyi mnaovichukua vyombo vya Yehova.+

  • Yeremia 50:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Kimbieni kutoka katikati ya Babiloni, na mwondoke katika nchi ya Wakaldayo,+ na muwe kama wanyama wanaoongoza mbele ya kundi.+

  • Yeremia 51:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 “Tokeni katikati yake, enyi watu wangu,+ na kila mmoja aiponye nafsi yake+ kutoka kwenye hasira ya Yehova inayowaka.+

  • Zekaria 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Haya, Sayuni!+ Ponyoka, wewe unayekaa na binti Babiloni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki