Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 10:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo Musa akamwambia Haruni: “Hivi ndivyo Yehova amesema, ‘Na nitakaswe+ kati ya wale walio karibu nami,+ nami nitukuzwe mbele ya uso wa watu wote.’”+ Naye Haruni akakaa kimya.

  • Hesabu 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nao watatunza vyombo+ vyote vya hema la mkutano, naam, wajibu wa wana wa Israeli katika kutimiza utumishi wao wa maskani.+

  • Ezra 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Pia, Mfalme Koreshi mwenyewe akaleta vyombo vya nyumba ya Yehova,+ ambavyo Nebukadneza alikuwa ameleta kutoka Yerusalemu+ na kuviweka katika nyumba ya mungu wake.+

  • Ezra 8:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nao makuhani na Walawi wakapokea uzito wa fedha na dhahabu na vyombo, ili wavilete Yerusalemu kwenye nyumba ya Mungu wetu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki