Hesabu 1:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Na wakati maskani hiyo inapoondoka, Walawi wataishusha; na wakati maskani hiyo inapopiga kambi,+ Walawi wataisimamisha; na mgeni yeyote anayekaribia anapaswa kuuawa.+ Isaya 52:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Geukeni, geukeni, tokeni humo,+ msiguse kitu chochote kilicho najisi;+ tokeni katikati yake,+ jiwekeni safi, ninyi mnaovichukua vyombo vya Yehova.+
51 Na wakati maskani hiyo inapoondoka, Walawi wataishusha; na wakati maskani hiyo inapopiga kambi,+ Walawi wataisimamisha; na mgeni yeyote anayekaribia anapaswa kuuawa.+
11 Geukeni, geukeni, tokeni humo,+ msiguse kitu chochote kilicho najisi;+ tokeni katikati yake,+ jiwekeni safi, ninyi mnaovichukua vyombo vya Yehova.+