Hesabu 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nawe utawaweka rasmi Haruni na wanawe, nao lazima wautunze ukuhani+ wao; na mgeni yeyote atakayekaribia atauawa.”+ Hesabu 18:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na wana wa Israeli wasikaribie tena hema la mkutano wasije wakawa na hatia ya dhambi na kufa.+ 1 Samweli 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye akawapiga watu wa Beth-shemeshi,+ kwa maana walikuwa wamelitazama sanduku la Yehova. Basi kati ya watu akapiga na kuua watu 70—watu 50,000—kisha watu wakaanza kuomboleza kwa sababu Yehova alikuwa amewapiga watu hao kwa mauaji makubwa.+
10 Nawe utawaweka rasmi Haruni na wanawe, nao lazima wautunze ukuhani+ wao; na mgeni yeyote atakayekaribia atauawa.”+
19 Naye akawapiga watu wa Beth-shemeshi,+ kwa maana walikuwa wamelitazama sanduku la Yehova. Basi kati ya watu akapiga na kuua watu 70—watu 50,000—kisha watu wakaanza kuomboleza kwa sababu Yehova alikuwa amewapiga watu hao kwa mauaji makubwa.+