Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 40:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nawe lazima utawatia mafuta kama vile ulivyomtia mafuta baba yao,+ nao lazima watanitumikia wakiwa makuhani, na kutiwa kwao mafuta lazima kutumike kwao kwa kuendelea kukiwa ukuhani mpaka wakati usio na kipimo katika vizazi vyao.”+

  • Hesabu 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na wewe na wana wako pamoja nawe mnapaswa kuulinda ukuhani wenu juu ya kila shughuli ya madhabahu na juu ya kile kilicho ndani ya pazia;+ nanyi mtatoa utumishi.+ Nitawapa ukuhani wenu kama utumishi wa zawadi, na mgeni atakayesogea karibu lazima auawe.”+

  • Waebrania 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi, kama kwa kweli ukamilifu+ ungekuwa ni kupitia ukuhani wa Walawi,+ (kwa maana huo ukiwa sehemu kuu watu walipewa Sheria,)+ kungekuwa na uhitaji gani zaidi+ wa kuhani mwingine kusimama kwa mfano wa Melkizedeki+ na asisemwe kuwa kwa mfano wa Haruni?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki