Hesabu 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nawe utawaweka rasmi Haruni na wanawe, nao lazima wautunze ukuhani+ wao; na mgeni yeyote atakayekaribia atauawa.”+ Hesabu 16:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 kuwa ukumbusho kwa wana wa Israeli, kusudi mgeni+ yeyote ambaye si uzao wa Haruni asikaribie ili kufukiza uvumba mbele za Yehova,+ wala yeyote asiwe kama Kora na kusanyiko lake,+ kama vile Yehova alivyokuwa amesema naye kupitia Musa.
10 Nawe utawaweka rasmi Haruni na wanawe, nao lazima wautunze ukuhani+ wao; na mgeni yeyote atakayekaribia atauawa.”+
40 kuwa ukumbusho kwa wana wa Israeli, kusudi mgeni+ yeyote ambaye si uzao wa Haruni asikaribie ili kufukiza uvumba mbele za Yehova,+ wala yeyote asiwe kama Kora na kusanyiko lake,+ kama vile Yehova alivyokuwa amesema naye kupitia Musa.