Zaburi 106:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kisha dunia ikafunguka na kummeza Dathani,+Na kulifunika kusanyiko la Abiramu.+ Yuda 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ole wao, kwa sababu wamekwenda katika pito la Kaini,+ nao wamekimbia kuingia katika mwendo wenye kosa wa Balaamu+ ili kupata thawabu, nao wameangamia katika maneno ya uasi+ ya Kora!+
11 Ole wao, kwa sababu wamekwenda katika pito la Kaini,+ nao wamekimbia kuingia katika mwendo wenye kosa wa Balaamu+ ili kupata thawabu, nao wameangamia katika maneno ya uasi+ ya Kora!+