8 Baada ya hayo Kaini akamwambia Abeli ndugu yake: “Twende shambani.” Basi ikawa kwamba walipokuwa shambani Kaini akamshambulia Abeli ndugu yake, akamuua.+
12 si kama Kaini, aliyetokana na yule mwovu akamuua+ ndugu yake. Naye alimuua kwa nini? Kwa sababu matendo yake mwenyewe yalikuwa maovu,+ lakini yale ya ndugu yake yalikuwa ya uadilifu.+