Mwanzo 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 hakumtazama Kaini na toleo lake kwa kibali chochote.+ Ndipo Kaini akawaka hasira,+ na uso wake ukaanza kukunjamana. Yuda 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ole wao, kwa sababu wamekwenda katika pito la Kaini,+ nao wamekimbia kuingia katika mwendo wenye kosa wa Balaamu+ ili kupata thawabu, nao wameangamia katika maneno ya uasi+ ya Kora!+
5 hakumtazama Kaini na toleo lake kwa kibali chochote.+ Ndipo Kaini akawaka hasira,+ na uso wake ukaanza kukunjamana.
11 Ole wao, kwa sababu wamekwenda katika pito la Kaini,+ nao wamekimbia kuingia katika mwendo wenye kosa wa Balaamu+ ili kupata thawabu, nao wameangamia katika maneno ya uasi+ ya Kora!+