Methali 14:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Moyo mtulivu ni uzima wa mwili wenye nyama,+ lakini wivu hufanya mifupa iwe na ubovu.+ Methali 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mtu mwenye ghadhabu huchochea ugomvi,+ lakini yule ambaye hakasiriki upesi hutuliza mabishano.+ Methali 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kuna ukatili wa ghadhabu, pia furiko la hasira,+ lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?+