5 Lakini Wayahudi wakawa na wivu,+ wakashirikiana na wanaume fulani waovu kati ya wazururaji wa sokoni na kufanyiza kikundi chenye ghasia ili kuzusha fujo jijini.+ Nao wakaishambulia nyumba ya Yasoni+ na kuanza kujaribu kuwaleta mbele ya watu wenye kufanya ghasia.