Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 37:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na ndugu zake wakaanza kumwonea wivu,+ lakini baba yake akayatia moyoni maneno hayo.+

  • Methali 14:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Moyo mtulivu ni uzima wa mwili wenye nyama,+ lakini wivu hufanya mifupa iwe na ubovu.+

  • Matendo 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini Wayahudi wakawa na wivu,+ wakashirikiana na wanaume fulani waovu kati ya wazururaji wa sokoni na kufanyiza kikundi chenye ghasia ili kuzusha fujo jijini.+ Nao wakaishambulia nyumba ya Yasoni+ na kuanza kujaribu kuwaleta mbele ya watu wenye kufanya ghasia.

  • Yakobo 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini ikiwa mna wivu+ mkali na ugomvi+ katika mioyo yenu, msiwe mkijigamba+ na kusema uwongo juu ya ile kweli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki