Mwanzo 37:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndugu zake walipoona kwamba baba yao alimpenda kuliko ndugu zake wote, wakaanza kumchukia,+ nao hawakusema naye kwa amani.+ 1 Samweli 18:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Sauli akaanza kukasirika sana,+ na neno hilo lilikuwa baya kwa maoni yake, hivi kwamba akasema: “Wamempa Daudi makumi ya maelfu, lakini mimi wamenipa maelfu, basi inabaki tu apewe ufalme!”+
4 Ndugu zake walipoona kwamba baba yao alimpenda kuliko ndugu zake wote, wakaanza kumchukia,+ nao hawakusema naye kwa amani.+
8 Na Sauli akaanza kukasirika sana,+ na neno hilo lilikuwa baya kwa maoni yake, hivi kwamba akasema: “Wamempa Daudi makumi ya maelfu, lakini mimi wamenipa maelfu, basi inabaki tu apewe ufalme!”+