Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 4:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 hakumtazama Kaini na toleo lake kwa kibali chochote.+ Ndipo Kaini akawaka hasira,+ na uso wake ukaanza kukunjamana.

  • Methali 14:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Moyo mtulivu ni uzima wa mwili wenye nyama,+ lakini wivu hufanya mifupa iwe na ubovu.+

  • Methali 27:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kuna ukatili wa ghadhabu, pia furiko la hasira,+ lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?+

  • Yakobo 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana mahali ambapo pana wivu+ na ugomvi, hapo pana machafuko na kila jambo baya.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki