Mwanzo 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 hakumtazama Kaini na toleo lake kwa kibali chochote.+ Ndipo Kaini akawaka hasira,+ na uso wake ukaanza kukunjamana. Methali 14:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Moyo mtulivu ni uzima wa mwili wenye nyama,+ lakini wivu hufanya mifupa iwe na ubovu.+ Methali 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kuna ukatili wa ghadhabu, pia furiko la hasira,+ lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?+ Yakobo 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana mahali ambapo pana wivu+ na ugomvi, hapo pana machafuko na kila jambo baya.+
5 hakumtazama Kaini na toleo lake kwa kibali chochote.+ Ndipo Kaini akawaka hasira,+ na uso wake ukaanza kukunjamana.