Methali 14:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Moyo mtulivu ni uzima wa mwili wenye nyama,+ lakini wivu hufanya mifupa iwe na ubovu.+ Methali 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kuna ukatili wa ghadhabu, pia furiko la hasira,+ lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?+