Methali 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Chuki huchochea ugomvi,+ lakini upendo hufunika hata makosa yote.+ Methali 29:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi,+ na mtu yeyote mwenye mwelekeo wa ghadhabu ana makosa mengi.+