Methali 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Chuki huchochea ugomvi,+ lakini upendo hufunika hata makosa yote.+ Methali 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mtu mwenye ghadhabu huchochea ugomvi,+ lakini yule ambaye hakasiriki upesi hutuliza mabishano.+