Methali 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mtu mwenye ghadhabu huchochea ugomvi,+ lakini yule ambaye hakasiriki upesi hutuliza mabishano.+ Yakobo 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Vita vinatoka chanzo gani na mapigano yanatoka chanzo gani katikati yenu? Je, havitoki katika chanzo hiki,+ yaani, katika tamaa zenu za mwili zinazoendeleza pambano katika viungo vyenu?+
4 Vita vinatoka chanzo gani na mapigano yanatoka chanzo gani katikati yenu? Je, havitoki katika chanzo hiki,+ yaani, katika tamaa zenu za mwili zinazoendeleza pambano katika viungo vyenu?+