Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 13:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ndipo Abramu akamwambia Loti:+ “Tafadhali, usiruhusu ugomvi wowote uendelee kuwa kati yangu na wewe na kati ya wachungaji wangu na wachungaji wako, kwa kuwa sisi ni ndugu.+

  • 1 Samweli 25:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kisha akaanguka miguuni pake+ na kusema: “Kosa na liwe juu yangu mwenyewe,+ Ee bwana wangu; na, tafadhali mwache kijakazi wako aseme masikioni mwako,+ nawe uyasikilize maneno ya kijakazi wako.

  • Methali 25:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa subira kiongozi hushawishiwa, na ulimi wa upole unaweza kuvunja mfupa.+

  • Wakolosai 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini sasa, kwa kweli, yaondoleeni mbali mambo haya yote kutoka kwenu,+ ghadhabu, hasira, ubaya, matukano,+ na maneno machafu+ kutoka kinywani mwenu.

  • Yakobo 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa. Kila mtu lazima awe mwepesi kuhusu kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa ghadhabu;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki