8 Ndipo Abramu akamwambia Loti:+ “Tafadhali, usiruhusu ugomvi wowote uendelee kuwa kati yangu na wewe na kati ya wachungaji wangu na wachungaji wako, kwa kuwa sisi ni ndugu.+
8 Lakini sasa, kwa kweli, yaondoleeni mbali mambo haya yote kutoka kwenu,+ ghadhabu, hasira, ubaya, matukano,+ na maneno machafu+ kutoka kinywani mwenu.