Mwanzo 44:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Sasa Yuda akamkaribia, akamwambia: “Nakuomba, bwana wangu, tafadhali mruhusu mtumwa wako aongee neno masikioni mwa bwana wangu,+ wala usiache hasira+ yako iwake juu ya mtumwa wako, kwa sababu wewe ni kama Farao.+ 2 Samweli 14:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi yule mwanamke akasema: “Tafadhali, acha mjakazi+ wako aseme neno+ na bwana wangu mfalme.” Kwa hiyo mfalme akasema: “Sema!”+
18 Sasa Yuda akamkaribia, akamwambia: “Nakuomba, bwana wangu, tafadhali mruhusu mtumwa wako aongee neno masikioni mwa bwana wangu,+ wala usiache hasira+ yako iwake juu ya mtumwa wako, kwa sababu wewe ni kama Farao.+
12 Basi yule mwanamke akasema: “Tafadhali, acha mjakazi+ wako aseme neno+ na bwana wangu mfalme.” Kwa hiyo mfalme akasema: “Sema!”+