Methali 14:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yule ambaye si mwepesi wa hasira ana utambuzi mwingi,+ lakini anayekosa subira anainua upumbavu.+ Methali 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ufahamu wa mtu hakika hupunguza hasira yake,+ na ni jambo lenye kupendeza anapopita kosa.+ Methali 29:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Watu wenye maneno ya kujisifu huwasha mji+ moto, lakini wenye hekima hugeuzia mbali hasira.+