Mwanzo 50:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa hiyo sasa msiogope. Mimi nitaendelea kuwapa chakula ninyi na watoto wenu wadogo.”+ Basi akawafariji na kusema nao kwa kuwatuliza. Mathayo 18:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yesu akamwambia: “Ninakuambia, si, Mpaka mara 7, bali, Mpaka mara 77.+ Waefeso 4:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Bali iweni wenye fadhili+ ninyi kwa ninyi, wenye huruma nyororo,+ mkisameheana kwa hiari kama vile Mungu pia kupitia Kristo alivyowasamehe ninyi kwa hiari.+
21 Kwa hiyo sasa msiogope. Mimi nitaendelea kuwapa chakula ninyi na watoto wenu wadogo.”+ Basi akawafariji na kusema nao kwa kuwatuliza.
32 Bali iweni wenye fadhili+ ninyi kwa ninyi, wenye huruma nyororo,+ mkisameheana kwa hiari kama vile Mungu pia kupitia Kristo alivyowasamehe ninyi kwa hiari.+