Methali 25:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mtu asiyezuia roho yake ni kama jiji lililobomolewa, lisilo na ukuta.+ Mhubiri 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Usiwe na haraka kuudhika katika roho yako,+ kwa maana kuudhika hukaa katika kifua cha wajinga.+