1 Samweli 20:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Ndipo Sauli akamtupia mkuki, ili ampige;+ na Yonathani akajua kwamba baba yake alikuwa ameazimia kumuua Daudi.+ Methali 16:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Asiye mwepesi wa hasira ni bora kuliko mwanamume mwenye nguvu,+ naye anayezuia roho yake ni bora kuliko mtu anayeteka jiji.+ Methali 22:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Usishirikiane na mtu yeyote mwenye mazoea ya kukasirika;+ wala usiende pamoja na mtu wa mifoko ya ghadhabu, Methali 29:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mtu mjinga huiachilia roho yake yote, lakini mwenye hekima huituliza mpaka mwisho.+
33 Ndipo Sauli akamtupia mkuki, ili ampige;+ na Yonathani akajua kwamba baba yake alikuwa ameazimia kumuua Daudi.+
32 Asiye mwepesi wa hasira ni bora kuliko mwanamume mwenye nguvu,+ naye anayezuia roho yake ni bora kuliko mtu anayeteka jiji.+
24 Usishirikiane na mtu yeyote mwenye mazoea ya kukasirika;+ wala usiende pamoja na mtu wa mifoko ya ghadhabu,