Methali 14:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yule ambaye si mwepesi wa hasira ana utambuzi mwingi,+ lakini anayekosa subira anainua upumbavu.+ Methali 25:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mtu asiyezuia roho yake ni kama jiji lililobomolewa, lisilo na ukuta.+ Amosi 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi yeye aliye na ufahamu atakaa kimya wakati huo, kwa maana utakuwa wakati wenye taabu.+