Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 20
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Samweli 20:1

Marejeo

  • +1Sa 19:10; 23:26; 2Pe 2:9
  • +1Sa 12:3; 24:11; Zb 7:3; 18:20

1 Samweli 20:2

Marejeo

  • +1Sa 19:6
  • +1Sa 9:15
  • +1Sa 20:12

1 Samweli 20:3

Marejeo

  • +Kum 6:13; Ebr 6:16
  • +1Sa 18:1; 19:2
  • +2Sa 15:21; 2Fa 2:2; Yer 10:10; 38:16
  • +1Sa 1:26; 17:55
  • +1Sa 27:1; Zb 116:3; 2Ko 1:9

1 Samweli 20:5

Marejeo

  • +Hes 10:10; 28:11; 2Fa 4:23; 1Nya 23:31; 2Nya 2:4; Ne 10:33; Kol 2:16
  • +1Sa 19:2; Met 22:3

1 Samweli 20:6

Marejeo

  • +1Sa 16:4, 18; Yoh 7:42
  • +1Sa 9:12; 20:29

1 Samweli 20:7

Marejeo

  • +Est 7:7; Mhu 4:13

1 Samweli 20:8

Marejeo

  • +Yos 2:14; Ru 1:8; Met 17:17; 19:22
  • +Hes 30:2; 1Sa 18:3; 23:18
  • +1Sa 20:1

1 Samweli 20:9

Marejeo

  • +1Sa 19:2

1 Samweli 20:12

Marejeo

  • +Kut 34:23; Kum 6:13; Yos 24:23
  • +Ayu 31:4; Zb 17:3; 139:1

1 Samweli 20:13

Marejeo

  • +Ru 1:17; 1Sa 3:17; 25:22; 2Sa 3:9
  • +1Sa 16:13; 17:37
  • +1Sa 10:7; 11:6; 14:47; 2Sa 1:22

1 Samweli 20:14

Marejeo

  • +Yoh 15:13
  • +2Sa 9:3, 7

1 Samweli 20:15

Marejeo

  • +2Sa 9:1; 21:7

1 Samweli 20:16

Marejeo

  • +1Sa 18:3; 2Sa 21:7

1 Samweli 20:17

Marejeo

  • +1Sa 18:1; 2Sa 1:26; Met 18:24

1 Samweli 20:18

Marejeo

  • +1Sa 20:5; Ezr 3:5; Isa 1:13

1 Samweli 20:19

Marejeo

  • +1Sa 19:2; 20:5

1 Samweli 20:21

Marejeo

  • +Kum 6:13; 10:20; Amu 8:19; 1Sa 14:39; 19:6; 20:3; 25:26; Mt 5:33

1 Samweli 20:23

Marejeo

  • +1Sa 20:14
  • +Mwa 16:5; 1Sa 20:42

1 Samweli 20:24

Marejeo

  • +Met 27:12
  • +1Sa 20:5

1 Samweli 20:25

Marejeo

  • +1Sa 14:50; 17:55

1 Samweli 20:26

Marejeo

  • +Law 11:24; 15:5, 16, 18; Hes 19:16

1 Samweli 20:27

Marejeo

  • +Ru 4:22; 1Sa 17:12; 22:7

1 Samweli 20:28

Marejeo

  • +1Sa 20:6

1 Samweli 20:30

Marejeo

  • +Met 14:29; 22:24
  • +Met 15:2; 21:24; Efe 4:31
  • +1Sa 14:50

1 Samweli 20:31

Marejeo

  • +1Sa 18:8
  • +1Sa 19:6; Zb 79:11; Mhu 4:13; 8:4

1 Samweli 20:32

Marejeo

  • +1Sa 19:5; Zb 69:4; Met 17:17; 18:24
  • +Mt 27:23; Lu 23:22

1 Samweli 20:33

Marejeo

  • +1Sa 18:11; 19:10; Yoh 15:13
  • +1Sa 20:7

1 Samweli 20:34

Marejeo

  • +Kut 11:8; 32:19; Efe 4:26
  • +1Sa 18:1
  • +1Sa 20:33

1 Samweli 20:35

Marejeo

  • +1Sa 20:19

1 Samweli 20:36

Marejeo

  • +1Sa 20:20

1 Samweli 20:37

Marejeo

  • +1Sa 20:22

1 Samweli 20:41

Marejeo

  • +Mwa 43:28; 1Sa 24:8; 25:23; 2Sa 9:6
  • +Mwa 29:13; 45:15; 1Sa 10:1; 2Sa 19:39; Mdo 20:37
  • +2Sa 1:26

1 Samweli 20:42

Marejeo

  • +Hes 6:26; 1Sa 1:17; Lu 7:50; Mdo 16:36
  • +1Sa 20:17, 23
  • +1Sa 20:23; 23:18; 2Sa 9:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni Imani Yao, makala 3

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Sam. 20:11Sa 19:10; 23:26; 2Pe 2:9
1 Sam. 20:11Sa 12:3; 24:11; Zb 7:3; 18:20
1 Sam. 20:21Sa 19:6
1 Sam. 20:21Sa 9:15
1 Sam. 20:21Sa 20:12
1 Sam. 20:3Kum 6:13; Ebr 6:16
1 Sam. 20:31Sa 18:1; 19:2
1 Sam. 20:32Sa 15:21; 2Fa 2:2; Yer 10:10; 38:16
1 Sam. 20:31Sa 1:26; 17:55
1 Sam. 20:31Sa 27:1; Zb 116:3; 2Ko 1:9
1 Sam. 20:5Hes 10:10; 28:11; 2Fa 4:23; 1Nya 23:31; 2Nya 2:4; Ne 10:33; Kol 2:16
1 Sam. 20:51Sa 19:2; Met 22:3
1 Sam. 20:61Sa 16:4, 18; Yoh 7:42
1 Sam. 20:61Sa 9:12; 20:29
1 Sam. 20:7Est 7:7; Mhu 4:13
1 Sam. 20:8Yos 2:14; Ru 1:8; Met 17:17; 19:22
1 Sam. 20:8Hes 30:2; 1Sa 18:3; 23:18
1 Sam. 20:81Sa 20:1
1 Sam. 20:91Sa 19:2
1 Sam. 20:12Kut 34:23; Kum 6:13; Yos 24:23
1 Sam. 20:12Ayu 31:4; Zb 17:3; 139:1
1 Sam. 20:13Ru 1:17; 1Sa 3:17; 25:22; 2Sa 3:9
1 Sam. 20:131Sa 16:13; 17:37
1 Sam. 20:131Sa 10:7; 11:6; 14:47; 2Sa 1:22
1 Sam. 20:14Yoh 15:13
1 Sam. 20:142Sa 9:3, 7
1 Sam. 20:152Sa 9:1; 21:7
1 Sam. 20:161Sa 18:3; 2Sa 21:7
1 Sam. 20:171Sa 18:1; 2Sa 1:26; Met 18:24
1 Sam. 20:181Sa 20:5; Ezr 3:5; Isa 1:13
1 Sam. 20:191Sa 19:2; 20:5
1 Sam. 20:21Kum 6:13; 10:20; Amu 8:19; 1Sa 14:39; 19:6; 20:3; 25:26; Mt 5:33
1 Sam. 20:231Sa 20:14
1 Sam. 20:23Mwa 16:5; 1Sa 20:42
1 Sam. 20:24Met 27:12
1 Sam. 20:241Sa 20:5
1 Sam. 20:251Sa 14:50; 17:55
1 Sam. 20:26Law 11:24; 15:5, 16, 18; Hes 19:16
1 Sam. 20:27Ru 4:22; 1Sa 17:12; 22:7
1 Sam. 20:281Sa 20:6
1 Sam. 20:30Met 14:29; 22:24
1 Sam. 20:30Met 15:2; 21:24; Efe 4:31
1 Sam. 20:301Sa 14:50
1 Sam. 20:311Sa 18:8
1 Sam. 20:311Sa 19:6; Zb 79:11; Mhu 4:13; 8:4
1 Sam. 20:321Sa 19:5; Zb 69:4; Met 17:17; 18:24
1 Sam. 20:32Mt 27:23; Lu 23:22
1 Sam. 20:331Sa 18:11; 19:10; Yoh 15:13
1 Sam. 20:331Sa 20:7
1 Sam. 20:34Kut 11:8; 32:19; Efe 4:26
1 Sam. 20:341Sa 18:1
1 Sam. 20:341Sa 20:33
1 Sam. 20:351Sa 20:19
1 Sam. 20:361Sa 20:20
1 Sam. 20:371Sa 20:22
1 Sam. 20:41Mwa 43:28; 1Sa 24:8; 25:23; 2Sa 9:6
1 Sam. 20:41Mwa 29:13; 45:15; 1Sa 10:1; 2Sa 19:39; Mdo 20:37
1 Sam. 20:412Sa 1:26
1 Sam. 20:42Hes 6:26; 1Sa 1:17; Lu 7:50; Mdo 16:36
1 Sam. 20:421Sa 20:17, 23
1 Sam. 20:421Sa 20:23; 23:18; 2Sa 9:7
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Samweli 20:1-42

1 Samweli

20 Na Daudi akakimbia+ kutoka Naiothi katika Rama. Hata hivyo, akaja na kusema mbele ya Yonathani: “Nimefanya nini?+ Kosa langu ni nini, nami nimetenda dhambi gani mbele ya baba yako, kwa maana anaitafuta nafsi yangu?” 2 Naye akamwambia: “Ni jambo lisilowaziwa!+ Hutakufa. Tazama! Baba yangu hatafanya jambo kubwa wala jambo dogo, asilifunue sikioni mwangu;+ na kwa nini baba yangu anifiche jambo hilo?+ Hilo halitendeki.” 3 Lakini Daudi akaapa+ tena na kusema: “Hakika baba yako anajua kwamba nimepata kibali machoni pako,+ na hivyo atasema, ‘Yonathani asijue jambo hili, asije akaumia moyoni.’ Lakini, kwa kweli, kama Yehova anavyoishi+ na kama nafsi yako inavyoishi,+ kuna kama hatua moja tu kati yangu na kifo!”+

4 Na Yonathani akaendelea kumwambia Daudi: “Lolote ambalo nafsi yako itasema nitakufanyia.” 5 Ndipo Daudi akamwambia Yonathani: “Tazama! Kesho ni mwezi mpya,+ nami lazima niketi pamoja na mfalme kwenye mlo; nawe uniache niende, nami nitajificha+ shambani mpaka jioni siku ya tatu. 6 Na baba yako akinikosa kwa vyovyote, ndipo useme, ‘Daudi aliniomba kwa bidii ruhusa ya kutokuwepo ili akimbie kwenda Bethlehemu+ jiji lake, kwa maana kuna dhabihu ya kila mwaka huko kwa ajili ya familia yote.’+ 7 Yeye akisema hivi, ‘Ni vema!’ hilo litamaanisha amani kwa mtumishi wako. Lakini akikasirika kwa vyovyote, ujue kwamba ameazimia jambo baya.+ 8 Nawe umwonyeshe mtumishi wako fadhili zenye upendo,+ kwa maana umemwingiza mtumishi wako pamoja nawe katika agano+ la Yehova. Lakini kama kuna kosa ndani yangu,+ wewe mwenyewe niue, kwa nini kunipeleka kwa baba yako?”

9 Kwa hiyo Yonathani akasema: “Hilo ni jambo lisilowaziwa kukuhusu! Lakini nikijua kwa vyovyote kwamba baba yangu ameazimia uovu uje juu yako, je, sitakuambia jambo hilo?”+ 10 Ndipo Daudi akamwambia Yonathani: “Ni nani atakayeniambia ikiwa baba yako huenda akujibu neno kali?” 11 Naye Yonathani akamwambia Daudi: “Wewe njoo tu, twende shambani.” Basi wote wawili wakaenda shambani. 12 Na Yonathani akaendelea kumwambia Daudi: “Yehova Mungu wa Israeli+ na awe shahidi+ kwamba nitampima baba yangu karibu wakati kama huu hapo kesho, au siku ya tatu, na ikiwa ana mwelekeo mwema kwa Daudi, je, hapo sitatuma neno kwako na kufunua habari hizo sikioni mwako? 13 Kwa hiyo Yehova na amtendee Yonathani hivyo na kuzidi,+ ikiwa, itakuwa vema kwa baba yangu kukutendea uovu, nami nisikufunulie habari hizo sikioni mwako na kukuacha uende zako, nawe hakika usiende kwa amani. Yehova na awe pamoja nawe,+ kama vile alivyokuwa pamoja na baba yangu.+ 14 Na wewe je, ikiwa nitakuwa hai bado,+ ndiyo, je, hutanionyesha fadhili zenye upendo za Yehova, ili nisife?+ 15 Nawe hutakatilia mbali fadhili zako zenye upendo zisiwe na nyumba yangu mpaka wakati usio na kipimo.+ Wala, wakati Yehova atakapokatilia mbali adui za Daudi, kila mmoja kutoka usoni pa nchi, 16 jina la Yonathani halitakatiliwa mbali kutoka katika nyumba ya Daudi.+ Na lazima Yehova atalitaka mkononi mwa adui za Daudi.” 17 Basi Yonathani akamwapia tena Daudi kwa sababu ya upendo wake kwake; kwa maana alimpenda jinsi alivyoipenda nafsi yake mwenyewe.+

18 Na Yonathani akaendelea kumwambia: “Kesho ni mwezi mpya,+ nawe utakosekana, kwa sababu kiti chako kitakuwa wazi. 19 Na hakika utakosekana sana siku ya tatu; nawe uje mahali ulipojificha+ ile siku ya kazi, ukae karibu na hili jiwe hapa. 20 Nami nitapiga mishale mitatu upande mmoja wa jiwe hili, niitupe mahali nitakapotaka kuelekea shabaha. 21 Na tazama! nitamtuma mtumishi, nikisema, ‘Nenda, tafuta ile mishale.’ Nikimwambia mtumishi waziwazi hivi, ‘Tazama! Mishale iko upande huu wako, ichukue,’ ndipo uje, kwa maana hilo linamaanisha amani kwako, wala hakuna jambo, kama Yehova anavyoishi.+ 22 Lakini nikimwambia hivi huyo mvulana, ‘Tazama! Mishale iko mbali zaidi kutoka kwako,’ basi nenda, kwa kuwa Yehova amekutuma uende zako. 23 Na kuhusu neno hili ambalo tumesema+ mimi na wewe, tazama, Yehova na awe kati yangu na wewe mpaka wakati usio na kipimo.”+

24 Ndipo Daudi akajificha shambani.+ Nao mwezi mpya ukafika, naye mfalme akaketi kula mlo.+ 25 Na mfalme alikuwa ameketi katika kiti chake kama katika zile nyakati nyingine, katika kiti kilicho kando ya ukuta; na Yonathani alikuwa anamwelekea, na Abneri+ alikuwa ameketi kando ya Sauli, lakini mahali pa Daudi palikuwa wazi. 26 Na Sauli hakusema lolote siku hiyo, kwa maana alisema moyoni mwake: “Jambo fulani limetokea, naye si safi,+ kwa kuwa hajatakaswa.” 27 Na ikawa kwamba, katika siku iliyofuata mwezi mpya, katika siku ya pili, mahali pa Daudi paliendelea kuwa wazi. Kwa hiyo Sauli akamwambia Yonathani mwana wake: “Kwa nini mwana wa Yese+ hakuja kwenye mlo jana wala leo?” 28 Basi Yonathani akamjibu Sauli: “Daudi aliniomba kwa bidii ruhusa ya kutokuwepo ili aende Bethlehemu.+ 29 Naye akaendelea kusema, ‘Tafadhali niache niende, kwa maana tuna dhabihu ya familia jijini, na ndugu yangu mwenyewe ndiye aliyeniamuru. Basi sasa, ikiwa nimepata kibali machoni pako, acha niende kisirisiri, ili niwaone ndugu zangu.’ Ndiyo sababu hakuja kwenye meza ya mfalme.” 30 Ndipo hasira+ ya Sauli ikawaka juu ya Yonathani naye akamwambia: “Wewe mwana wa mjakazi mwasi,+ je, mimi sijui vema kwamba unamchagua mwana wa Yese, kwa aibu yako mwenyewe na kwa aibu ya sehemu za siri za mama yako?+ 31 Kwa maana siku zote ambazo mwana wa Yese atakuwa hai katika nchi, wewe na ufalme wako hutasimama imara.+ Basi sasa tuma watu umlete kwangu, kwa maana amekusudiwa kufa.”+

32 Hata hivyo, Yonathani akamjibu Sauli baba yake na kumwambia: “Kwa nini auawe?+ Amefanya nini?”+ 33 Ndipo Sauli akamtupia mkuki, ili ampige;+ na Yonathani akajua kwamba baba yake alikuwa ameazimia kumuua Daudi.+ 34 Mara moja Yonathani akasimama kutoka mezani akiwa na hasira kali,+ naye hakula mkate katika siku ya pili baada ya mwezi mpya, kwa maana alikuwa ameumizwa moyoni kwa habari ya Daudi,+ kwa sababu baba yake mwenyewe alikuwa amemfedhehesha.+

35 Na ikawa asubuhi kwamba Yonathani akatoka kwenda zake katika lile shamba mahali alipoagana kukutana na Daudi,+ na mtumishi kijana alikuwa pamoja naye. 36 Naye akamwambia mtumishi wake: “Tafadhali kimbia, tafuta ile mishale ninayopiga.”+ Mtumishi akakimbia, naye akapiga mshale ili umpite, uende mbele yake. 37 Mtumishi yule alipofika mahali pa mshale aliokuwa amepiga Yonathani, Yonathani akaanza kuita kutoka nyuma ya mtumishi na kusema: “Je, mshale hauko mbali zaidi na wewe?”+ 38 Naye Yonathani akaendelea kuita kutoka nyuma ya mtumishi: “Upesi! Fanya haraka! Usisimame tuli!” Na yule mtumishi wa Yonathani akaiokota ile mishale, kisha akarudi kwa bwana wake. 39 Lakini mtumishi huyo hakujua lolote; ila Yonathani na Daudi peke yao ndio waliojua jambo hilo. 40 Kisha Yonathani akampa mtumishi wake silaha zake na kumwambia: “Nenda, zipeleke jijini.”

41 Yule mtumishi akaenda. Naye Daudi akasimama kutoka hapo karibu na upande wa kusini. Kisha akaanguka kifudifudi+ na kuinama mara tatu; nao wakaanza kubusiana+ na kuliliana, mpaka ikawa Daudi ndiye aliyelia zaidi.+ 42 Na Yonathani akaendelea kumwambia Daudi: “Nenda kwa amani,+ kwa maana tumeapa,+ sisi wawili, katika jina la Yehova, tukisema, ‘Yehova na awe kati yangu na wewe na kati ya uzao wangu na uzao wako mpaka wakati usio na kipimo.’”+

Basi Daudi akaondoka, akaenda zake, na Yonathani akarudi jijini.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki