12 Na Yonathani akaendelea kumwambia Daudi: “Yehova Mungu wa Israeli+ na awe shahidi+ kwamba nitampima baba yangu karibu wakati kama huu hapo kesho, au siku ya tatu, na ikiwa ana mwelekeo mwema kwa Daudi, je, hapo sitatuma neno kwako na kufunua habari hizo sikioni mwako?