1 Samweli 20:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa hiyo Yonathani akasema: “Ni jambo nisiloweza kamwe kuwazia kwamba nipendekeze utendewe hivyo! Nikipata habari kwamba baba yangu ameazimia kukudhuru, kwa nini nisikwambie?”+
9 Kwa hiyo Yonathani akasema: “Ni jambo nisiloweza kamwe kuwazia kwamba nipendekeze utendewe hivyo! Nikipata habari kwamba baba yangu ameazimia kukudhuru, kwa nini nisikwambie?”+