Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na itakuwa kwamba ishara+ hizo zitakapokuja juu yako, jifanyie lile ambalo mkono wako unaweza,+ kwa sababu Mungu wa kweli yupo pamoja nawe.+

  • 1 Samweli 11:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na roho+ ya Mungu ikaanza kutenda kazi juu ya Sauli alipoyasikia maneno hayo, hasira yake ikawaka sana.+

  • 1 Samweli 14:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Naye Sauli akachukua ufalme juu ya Israeli,+ akaanza kupiga vita kuzunguka pande zote juu ya adui zake wote, juu ya Moabu+ na juu ya wana wa Amoni+ na juu ya Edomu+ na juu ya wafalme wa Soba+ na juu ya Wafilisti;+ na mahali popote alipogeukia, akawatendea kama waliohukumiwa kuwa na hatia.+

  • 2 Samweli 1:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kutoka kwa damu ya waliouawa, kutoka kwa mafuta ya wenye uwezo,

      Upinde wa Yonathani haukugeuka nyuma,+

      Na upanga wa Sauli haukurudi bila mafanikio.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki