Kumbukumbu la Torati 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Ikiwa utaenda katika pigano juu ya adui zako nawe uone farasi na magari ya vita,+ watu wengi kuliko wewe, usiwaogope; kwa maana Yehova Mungu wako yuko pamoja nawe,+ aliyekutoa katika nchi ya Misri.+ Waamuzi 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndipo malaika wa Yehova akamtokea, akamwambia: “Yehova yupo pamoja nawe,+ Ee mwanamume shujaa na mwenye nguvu.”
20 “Ikiwa utaenda katika pigano juu ya adui zako nawe uone farasi na magari ya vita,+ watu wengi kuliko wewe, usiwaogope; kwa maana Yehova Mungu wako yuko pamoja nawe,+ aliyekutoa katika nchi ya Misri.+
12 Ndipo malaika wa Yehova akamtokea, akamwambia: “Yehova yupo pamoja nawe,+ Ee mwanamume shujaa na mwenye nguvu.”