8 Na hakika hawa watumishi wako wote watanijia na kusujudu mbele yangu,+ na kusema, ‘Nenda, wewe na watu wote wanaofuata hatua zako.’ Na baada ya hapo mimi nitaondoka.” Kisha akaondoka mbele ya Farao akiwaka hasira.
19 Basi ikawa kwamba mara tu alipoikaribia kambi naye akaweza kuiona ile ndama+ na zile dansi, hasira ya Musa ikaanza kuwaka, naye akayatupa mara moja yale mabamba mawili kutoka mkononi mwake na kuyavunja-vunja chini ya mlima.+