16 Halafu nikaangalia, na tazama, ninyi mlikuwa mmemtendea dhambi Yehova Mungu wenu! Mlikuwa mmejifanyia wenyewe ndama wa kuyeyushwa.+ Mlikuwa mmegeuka kando upesi kutoka katika njia ambayo Yehova alikuwa amewaamuru ninyi.+
18 Ndiyo, walipokuwa wamejitengenezea sanamu ya ndama+ ya kuyeyushwa na kuanza kusema, ‘Huyu ndiye Mungu wako aliyekuongoza kutoka Misri,’+ nao wakatenda matendo makubwa ya kukosa heshima,