4 “Usijifanyie sanamu ya kuchongwa wala umbo lililo kama kitu chochote kilicho juu mbinguni wala kilicho chini duniani wala kilicho ndani ya maji chini ya dunia.+
8 “‘Usijifanyie sanamu ya kuchongwa,+ umbo+ lolote lililo kama kitu chochote kilicho mbinguni juu au kilicho duniani chini au kilicho katika maji chini ya dunia.