Kumbukumbu la Torati 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Usiwe kamwe na miungu mingine dhidi ya uso wangu.+ 2 Wafalme 17:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 wakati Yehova alipofanya agano+ pamoja nao na kuwaamuru, akisema: “Msiogope miungu mingine,+ wala msiinamie wala kuitumikia wala kuitolea dhabihu.+ Yeremia 25:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nanyi msifuate miungu mingine ili kuitumikia na kuiinamia, ili msinitie uchungu mimi kwa kazi ya mikono yenu, na ili nisiwaletee ninyi msiba.’+
35 wakati Yehova alipofanya agano+ pamoja nao na kuwaamuru, akisema: “Msiogope miungu mingine,+ wala msiinamie wala kuitumikia wala kuitolea dhabihu.+
6 Nanyi msifuate miungu mingine ili kuitumikia na kuiinamia, ili msinitie uchungu mimi kwa kazi ya mikono yenu, na ili nisiwaletee ninyi msiba.’+