Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na sasa ikiwa mtaitii+ sauti yangu kabisa na kulishika kwa kweli agano+ langu, ndipo hakika mtakapokuwa mali yangu ya pekee kutoka kati ya vikundi vingine vyote vya watu,+ kwa sababu dunia nzima ni yangu.+

  • Kutoka 24:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mwishowe akachukua kitabu cha agano+ na kukisoma katika masikio ya watu.+ Kisha wakasema: “Yote ambayo Yehova amesema tuko tayari kuyafanya na kuyatii.”+

  • Kumbukumbu la Torati 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yehova Mungu wetu alifanya agano pamoja nasi katika Horebu.+

  • Kumbukumbu la Torati 29:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Haya ndiyo maneno ya agano ambalo Yehova alimwamuru Musa afanye pamoja na wana wa Israeli katika nchi ya Moabu mbali na lile agano alilofanya pamoja nao katika Horebu.+

  • Yeremia 31:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitafanya agano jipya+ pamoja na nyumba ya Israeli+ na nyumba ya Yuda;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki