8 Basi Musa akaichukua damu na kuinyunyiza juu ya watu+ na kusema: “Tazama, hii ndiyo damu ya agano+ ambalo Yehova amefanya pamoja nanyi kuhusu maneno yote haya.”
45 Nami nitakumbuka kwa ajili yao lile agano la mababu+ zao ambao niliwatoa katika nchi ya Misri machoni pa mataifa,+ ili nijionyeshe kuwa Mungu wao. Mimi ni Yehova.’”