5 Na sasa ikiwa mtaitii+ sauti yangu kabisa na kulishika kwa kweli agano+ langu, ndipo hakika mtakapokuwa mali yangu ya pekee kutoka kati ya vikundi vingine vyote vya watu,+ kwa sababu dunia nzima ni yangu.+
23 Jiangalieni msije mkasahau agano la Yehova Mungu wenu ambalo alifanya pamoja nanyi+ na msijifanyie sanamu ya kuchongwa, umbo la kitu chochote ambacho juu yake Yehova Mungu wako amekuamuru.+
19 Kwa maana wakati kila amri kulingana na Sheria ilipokuwa imesemwa na Musa kwa watu wote,+ alichukua damu ya wale ng’ombe-dume wachanga na ya wale mbuzi pamoja na maji na sufu nyekundu na hisopo+ na kukinyunyizia kile kitabu na watu wote,