4 “Usijifanyie sanamu ya kuchongwa wala umbo lililo kama kitu chochote kilicho juu mbinguni wala kilicho chini duniani wala kilicho ndani ya maji chini ya dunia.+
10 Zaidi ya hayo, nikawaambia ninyi: “Mimi ni Yehova Mungu wenu.+ Msiogope miungu ya Waamori+ ambao mnakaa katika nchi yao.”+ Nanyi hamkuisikiliza sauti yangu.’”+