26“‘Msijifanyie miungu isiyo na thamani,+ wala msijisimamishie sanamu ya kuchongwa+ au nguzo takatifu, wala msiweke jiwe kuwa sanamu katika+ nchi yenu ili kuliinamia;+ kwa maana mimi ni Yehova Mungu wenu.
8 “‘Usijifanyie sanamu ya kuchongwa,+ umbo+ lolote lililo kama kitu chochote kilicho mbinguni juu au kilicho duniani chini au kilicho katika maji chini ya dunia.
29 “Kwa hiyo, kwa kuwa sisi ni uzao wa Mungu,+ hatupaswi kuwazia kwamba Mungu+ ni kama dhahabu au fedha au jiwe, kama kitu kilichochongwa kwa ufundi na mtungo wa mwanadamu.+
20 Lakini wale wanadamu wengine ambao hawakuuawa kwa yale mapigo hawakutubu matendo ya mikono yao,+ ili kwamba wasiabudu roho waovu+ na sanamu za dhahabu na fedha+ na shaba na mawe na miti, ambazo haziwezi kuona wala kusikia wala kutembea;+