Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 31:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kwa maana najua vema kwamba baada ya kifo changu hakika mtatenda kwa uharibifu,+ nanyi hakika mtageuka kando kutoka katika njia ambayo nimewaamuru ninyi; na msiba+ lazima utawaangukia mwishoni mwa siku hizo, kwa sababu mtafanya yaliyo mabaya machoni pa Yehova ili kumtia uchungu kwa kazi za mikono yenu.”+

  • Yeremia 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ee Yehova, je, macho yako hayaangalii uaminifu?+ Umewapiga,+ lakini hawakuwa wagonjwa.+ Uliwaangamiza.+ Walikataa kukubali nidhamu.+ Walizifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba.+ Walikataa kurudi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki