Methali 21:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mtu mwovu ameufanya uso wake kuwa mgumu,+ lakini mtu mnyoofu ndiye atakayefanya njia zake imara.+ Zekaria 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini waliendelea kukataa kusikiliza,+ nao wakaendelea kugeuza bega kwa ukaidi,+ wakafanya masikio yao kuwa magumu mno yasiweze kusikia.+
11 Lakini waliendelea kukataa kusikiliza,+ nao wakaendelea kugeuza bega kwa ukaidi,+ wakafanya masikio yao kuwa magumu mno yasiweze kusikia.+