Methali 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Uadilifu wa mtu asiye na lawama ndio utakaoinyoosha njia yake,+ lakini mwovu ataanguka katika uovu wake mwenyewe.+ 1 Wathesalonike 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Sasa Mungu na Baba yetu mwenyewe na Bwana wetu Yesu+ na waifanikishe njia yetu kuja kwenu.
5 Uadilifu wa mtu asiye na lawama ndio utakaoinyoosha njia yake,+ lakini mwovu ataanguka katika uovu wake mwenyewe.+