25 Kwa hiyo Yeye aliendelea kumwaga ghadhabu juu yake, hasira yake, na nguvu za vita.+ Nayo ikaendelea kumteketeza pande zote,+ lakini hakuangalia;+ nayo ikaendelea kuwaka juu yake, lakini akawa haweki lolote moyoni.+
28 Nawe utawaambia, ‘Hili ndilo taifa ambalo watu wake hawakuitii sauti ya Yehova Mungu wake,+ nao hawakushika nidhamu.+ Uaminifu umeangamia, nao umekatiliwa mbali kutoka katika kinywa chao.’+