Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 57:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Ulimhofu na kuanza kumwogopa nani,+ hivi kwamba ukaanza kusema uwongo?+ Lakini wewe hukunikumbuka mimi.+ Hukuweka moyoni mwako jambo lolote.+ Je, mimi sikuwa nikinyamaza kimya na kuficha mambo?+ Kwa hiyo hukuniogopa mimi.+

  • Malaki 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ikiwa hamtasikiliza,+ na ikiwa hamtaiweka moyoni+ ili kulipa jina langu utukufu,”+ Yehova wa majeshi amesema, “mimi pia nitaleta juu yenu laana,+ nami nitazilaani baraka zenu.+ Ndiyo, hata nimeilaani baraka, kwa sababu hamwitii moyoni.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki