25 Kwa hiyo Yeye aliendelea kumwaga ghadhabu juu yake, hasira yake, na nguvu za vita.+ Nayo ikaendelea kumteketeza pande zote,+ lakini hakuangalia;+ nayo ikaendelea kuwaka juu yake, lakini akawa haweki lolote moyoni.+
57Mwadilifu ameangamia,+ lakini hakuna anayeweka jambo hilo moyoni.+ Na watu wa fadhili zenye upendo wanakusanywa kwa wafu,+ hali hakuna anayetambua kuwa ni kwa sababu ya msiba kwamba mwadilifu amekusanywa.+