Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini waliendelea kuwadhihaki+ wale wajumbe wa Mungu wa kweli na kuyadharau maneno+ yake na kuwafanyia mzaha+ manabii wake, mpaka ghadhabu+ ya Yehova ikapanda juu ya watu wake, mpaka kukawa hakuna kuponywa.+

  • Isaya 42:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa hiyo Yeye aliendelea kumwaga ghadhabu juu yake, hasira yake, na nguvu za vita.+ Nayo ikaendelea kumteketeza pande zote,+ lakini hakuangalia;+ nayo ikaendelea kuwaka juu yake, lakini akawa haweki lolote moyoni.+

  • Malaki 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ikiwa hamtasikiliza,+ na ikiwa hamtaiweka moyoni+ ili kulipa jina langu utukufu,”+ Yehova wa majeshi amesema, “mimi pia nitaleta juu yenu laana,+ nami nitazilaani baraka zenu.+ Ndiyo, hata nimeilaani baraka, kwa sababu hamwitii moyoni.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki