Isaya 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na watu hawakurudi kwa Yeye anayewapiga,+ nao hawakumtafuta Yehova wa majeshi.+ Yeremia 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, je, macho yako hayaangalii uaminifu?+ Umewapiga,+ lakini hawakuwa wagonjwa.+ Uliwaangamiza.+ Walikataa kukubali nidhamu.+ Walizifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba.+ Walikataa kurudi.+ Hosea 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wageni wamekula nguvu zake,+ na yeye mwenyewe hakupata kujua hilo.+ Pia, mvi zimekuwa nyeupe juu yake, lakini yeye mwenyewe hakupata kujua hilo.
3 Ee Yehova, je, macho yako hayaangalii uaminifu?+ Umewapiga,+ lakini hawakuwa wagonjwa.+ Uliwaangamiza.+ Walikataa kukubali nidhamu.+ Walizifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba.+ Walikataa kurudi.+
9 Wageni wamekula nguvu zake,+ na yeye mwenyewe hakupata kujua hilo.+ Pia, mvi zimekuwa nyeupe juu yake, lakini yeye mwenyewe hakupata kujua hilo.